Timu 5 zenye UNBEATEN ndefu zaidi soka la Ulaya



Je, unajua timu gani inashikilia rekodi ya kucheza mechi nyingi zaidi bila kufungwa barani Ulaya? Video hii inakuletea orodha ya timu 5 bora zilizoweka historia ya “Unbeaten runs” kubwa zaidi, kuanzia Juventus ya Antonio Conte hadi rekodi mpya na ya kipekee ya Bayer Leverkusen chini ya Xabi Alonso msimu wa 2023-2024.

Ndani ya video hii:

Bayer Leverkusen (Ujerumani) – Mechi 51 bila kupoteza!
Benfica (Ureno) – Utawala wa Eusébio.
AC Milan (Italia) – Ukuta wa chuma wa Fabio Capello.
Rangers (Scotland) – Domestic treble ya kihistoria.
Juventus (Italia) – Msimu wa dhahabu wa 2011-2012.
Tazama hadi mwisho kuona jinsi rekodi hizi zilivyowekwa na kuvunjwa!

#bayerleverkusen #xabialonso #juventus #acmilan #bundesliga #historiayasoka #sheriazagame #michezo #soka

source

14 thoughts on “Timu 5 zenye UNBEATEN ndefu zaidi soka la Ulaya”

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Scroll to Top